Sunday, March 23, 2008
Wajumbe wa serikali ya
Mazungumzo hayo yatazingatia kumaliza ratiba ya utekelezaji; kuanda mkataba wa amani, na kuitia sahihi kutamatisha vita vilivyozidi miongo miwili.
Mapema mwaka huu, pande hizo mbili zilipiga hatua zilipomaliza agenda tano kuu, na kutia sahihi itifaki ya utekelezaji kufikia amani yenye kudumu.
Wiki jana serikali ya
Ndio mkataba wa amani kutiwa sahihi, Joseph Kony anasema mashtaka dhidi yake huko ICC ni lazima yatupiliwe mbali, huku serikali ya
Wiki mbili zilizopita, Rais wa Uganda Yoweri Museveni alisema hataikabidhi mahakama ya kimataifa ya jinai (ICC) viongozi wa LRA walioshtakiwa kwa makosa ya jinai, akidai wana-uganda wamekubali kutumia mahaka za
0 comments:
Post a Comment