Wednesday, March 19, 2008
Rais wa
Msikiti huo unaoitwa Qathafi National Mosque, ulifadhiliwa naye (Qathafi) na unauwezo wa kuenzi watu kuzidi alfu ishirini kwa wakati mmoja.
Akifungua msikiti huo, Qathafi aliwasihi waislamu ulimwenguni kuwa kitu kimoja na kuzisahau tofauti za kidhehebu na kumheshimu maulana.
Waliohudhuria sherehe hiyo ni marais kutoka
Kabla hajaondoka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment